Imewekwa: 16 April, 2025
Tuzo ya Taifa ya Mwalimu Nyerere ya Uandishi Bunifu inalenga kuendeleza vipaji na kuchochea ubunifu miongoni mwa waandishi nchini. Tukio hili limepambwa na viongozi mbalimbali wa serikali na wanahabari.
Imewekwa: 16 April, 2025
Tuzo ya Taifa ya Mwalimu Nyerere ya Uandishi Bunifu inalenga kuendeleza vipaji na kuchochea ubunifu miongoni mwa waandishi nchini. Tukio hili limepambwa na viongozi mbalimbali wa serikali na wanahabari.